Hukumu ya uchafuzi wa mazingira.

| |times read : 335
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hukumu ya uchafuzi wa mazingira.

Swali:

    Ni ipi hukumu ya uchafuzi wa mazingira, hasa uchafuzi ambao unapeleka madhara makubwa katika jamii kama vile swala la kupanda kwa joto, au kuchafua kabisa anga ambayo yatapelekea kuangamia watu wengi katika miji?.

 

Jawabu:

       Kwa jina la Mwenyezi Mungu

Ni haramu na haifai kabisa kufanya jambo lolote ambalo litapelekea mubashara madhara au maslahi ya watu.

                                                        Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy