Hukumu ya kumvutia taswira mwanamke ambaye si halali kwako.

| |times read : 413
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hukumu ya kumvutia taswira mwanamke ambaye si halali kwako.

Swali:

    Ni ii hukumu ya mtu kumvutia picha na taswira mwanamke ajnabi (ambaye si halali kwake)?.

 

Jawabu:

       Kwa jina la Mwenyezi Mungu

Kwanza kabisa swala la fikra si katika uwezo wa binadamu, lakini cha muhimu ni kwamba fikra na hizo taswira zisipelekee kuangukia katika mambo ya haramu. Hali kadhalika ni wajibu kuweza kujitahidi kwa kadri yako kuweza kuacha kufikiria, na jitihada i jambo lenye kuwezekana.

                                                        Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy