Hukumu ya kutoa talaka kwa njia ya simu.

| |times read : 453
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hukumu ya kutoa talaka kwa njia ya simu.

Swali:

    Je, inafaa kupitisha shahada ya talaka kwa njia ya simu kutokana na umbali kwa mfano?.

 

Jawabu:

       Kwa jina la Mwenyezi Mungu

Ni sharti kwa mashahidi kumsikia kwa pamoja mtaliki akitamka matamshi ya talaka, sasa kama itawezekana hilo kwa njia za mawasiliano ya kisasa hakuna shida, cha muhimu tu ni kuwa na uhakika kwamba hakutakuwa na udanganyifu na mfano wake katika hilo.

                                                        Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy