Hukumu ya kutoa talaka kwa njia ya simu.
09/07/2020 21:14:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 453
Hukumu ya kutoa talaka kwa njia ya simu.
Swali:
Je, inafaa kupitisha shahada ya talaka kwa njia ya simu kutokana na umbali kwa mfano?.
Jawabu:
Kwa jina la Mwenyezi Mungu
Ni sharti kwa mashahidi kumsikia kwa pamoja mtaliki akitamka matamshi ya talaka, sasa kama itawezekana hilo kwa njia za mawasiliano ya kisasa hakuna shida, cha muhimu tu ni kuwa na uhakika kwamba hakutakuwa na udanganyifu na mfano wake katika hilo.
Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy