Uvaaji hijabu kwa mke wangu

| |times read : 403
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Uvaaji hijabu kwa mke wangu

Swali:

    Natarajia kufunga ndoa karibuni, je, ninaweza mruhusu mke wangu avue hijabu yake tukiwa ndani, huku nikiwa najua fika ndani naishi na familia yangu ambao ndani yake kuna kaka zangu. Na hii ni kutokana na uvaaji hijabu kwa muda mrefu unamchosha mke wangu.

 

Jawabu:

       Kwa jina la Mwenyezi Mungu

Ieleweke kwamba kuruhusu au kutoruhusu si katika mikono yako, kwa sababu hukumu za kisheria ni wajibu zifanyiwe kazi. Hivyo mkeo ni lazima avae hijabu hata kama itakuwa ni mbele ya kaka wa mme wake na inabidi asubiri tu katika hilo huku wewe ukijitahidi kuandaa mazingira maalumu kwa ajili yake.

                                                        Ayatollah Mohammad Yaaqubiy