Hukumu kwenda ufukweni au katika bustani za pamoja.

| |times read : 400
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hukumu kwenda ufukweni au katika bustani za pamoja.

Swali:

Sisi ni wenye kukufuata wewe, hivyo tunaomba hukumu ya kwenda matembezi mbugani, bustanini au ufukweni kwa ajili ya kujifurahisha.

 

Jawabu:

       Kwa jina la Mwenyezi Mungu

Hakuna tatizo kama itakuwa kuna sababu za kiakili na pia kutokuwa na mambo ya haramu sehemu hizo.

                                                        Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy