Hukumu kwenda ufukweni au katika bustani za pamoja.
09/07/2020 20:57:00 |
17/Dhul-Qadah/1441|times read : 400
Hukumu kwenda ufukweni au katika bustani za pamoja.
Swali:
Sisi ni wenye kukufuata wewe, hivyo tunaomba hukumu ya kwenda matembezi mbugani, bustanini au ufukweni kwa ajili ya kujifurahisha.
Jawabu:
Kwa jina la Mwenyezi Mungu
Hakuna tatizo kama itakuwa kuna sababu za kiakili na pia kutokuwa na mambo ya haramu sehemu hizo.
Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy