Hukumu ya ndoa baina ya Shia na Suni
09/07/2020 20:57:00 |
17/Dhul-Qadah/1441|times read : 393
Hukumu ya ndoa baina ya Shia na Suni
Swali:
Ni ipi hukumu ya kisheria katika kijana wa kisuni kumuoa binti wa kishia?, je hili linafaa?, na kama jibu litakuwa ndio, ni masharti gani yanatakiwa katika hilo?, kwa maana nimesikia kuwa ndoa hii ni haramu.
Jawabu:
Kwa jina la Mwenyezi Mungu
Ndoa hii ni sahihi, kwani Uislamu ndio sharti la kusihi kwa ndoa, na Uislamu hupatikana kwa kutamka shahada mbili.
Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy