Hukumu ya ndoa baina ya Shia na Suni

| |times read : 393
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hukumu ya ndoa baina ya Shia na Suni

Swali:

    Ni ipi hukumu ya kisheria katika kijana wa kisuni kumuoa binti wa kishia?, je hili linafaa?, na kama jibu litakuwa ndio, ni masharti gani yanatakiwa katika hilo?, kwa maana nimesikia kuwa ndoa hii ni haramu.

 

Jawabu:

       Kwa jina la Mwenyezi Mungu

Ndoa hii ni sahihi, kwani Uislamu ndio sharti la kusihi kwa ndoa, na Uislamu hupatikana kwa kutamka shahada mbili.

                                                        Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy