Hukumu ya uvutaji sigara mchana wa mwezi wa Ramadhani
09/07/2020 20:56:00 |
17/Dhul-Qadah/1441|times read : 430
Hukumu ya uvutaji sigara mchana wa mwezi wa Ramadhani
Swali:
Kuna baadhi ya wanafunzi huvuta sigara mchana wa Ramadhani kwa madai ya kwamba kuna Fatwa kutoka kwa Shahid Thani yenye kuelezea kutofuturisha kwa sigara, ni ipi hukumu yake?.
Jawabu:
Kwa jina la Mwenyezi Mungu
Hukumu yetu ni kwamba tunazuia uvutaji wa sigara, na ama kuhusu kubakia katika kumfuata Ayatollah Shahid Thani ni kwa sharti la kunirejea mimi katika mambo yenye kutofautiana.
Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy