Hukumu ya uvutaji sigara mchana wa mwezi wa Ramadhani

| |times read : 430
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hukumu ya uvutaji sigara mchana wa mwezi wa Ramadhani

Swali:

    Kuna baadhi ya wanafunzi huvuta sigara mchana wa Ramadhani kwa madai ya kwamba kuna Fatwa kutoka kwa Shahid Thani yenye kuelezea kutofuturisha kwa sigara, ni ipi hukumu yake?.

 

Jawabu:

       Kwa jina la Mwenyezi Mungu

Hukumu yetu ni kwamba tunazuia uvutaji wa sigara, na ama kuhusu kubakia katika kumfuata Ayatollah Shahid Thani ni kwa sharti la kunirejea mimi katika mambo yenye kutofautiana.

                                                        Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy