Hukumu ya kujitolea viungo
09/07/2020 23:56:00 |
17/Dhul-Qadah/1441|times read : 445
Hukumu ya kujitolea viungo
Swali:
Je, inafaa mtu aliye hai kujitolea kiungo chake kwa mwingine?.
Jawabu:
Kwa jina la Mwenyezi Mungu.
Haifai kujitolea kiungo kwa mwingine kwani sio mali yako, ndio, kama itakuwa katika kufanya hivyo ni kwa ajili yakuokoa maisha ya mtu pasi na kumdhuru mtoaji kwa kiasi kikubwa basi hakuna tatizo.
Ayatollah Sheikh Muhammad Yaaqobiy.

