Hukumu ya kujitolea viungo

| |times read : 395
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

 

Hukumu ya kujitolea viungo

Swali:

   Je, inafaa mtu aliye hai kujitolea kiungo chake kwa mwingine?.

 

Jawabu:

               Kwa jina la Mwenyezi Mungu.

Haifai kujitolea kiungo kwa mwingine kwani sio mali yako, ndio, kama itakuwa katika kufanya hivyo ni kwa ajili yakuokoa maisha ya mtu pasi na kumdhuru mtoaji kwa kiasi kikubwa basi hakuna tatizo.

Ayatollah Sheikh Muhammad Yaaqobiy.