Misingi ya kisheria katika swala la kujiremba

| |times read : 392
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

 

Misingi ya kisheria katika swala la kujiremba

Swali:

   Baada ya salamu:

Je, ni ipi misingi na kigezo katika swala zima la kujiremba na kujipamba, na ni upi msimamo wa kisheria katika hilo?.

 

Jawabu:

               Kwa jina la Mwenyezi Mungu.

Swala la kujiremba leo hii lina aina nyingi, na kwa mujibu wa hizo aina hukumu za kisheria zinakuja juu yake.

    Kuna ambazo zinakuwa ni kwa ajili ya kutoa baadhi ya vitu hasa usoni, vitu ambavyo wasioelewa wakiviona hupeleka kukejeli na kudharau kwa ujinga wao, sasa katika hali kama hii ni vizuri kutoa aibu zile ili kuepuka dharau na kejeli za wajinga.

Ayatollah Sheikh Muhammad Yaaqobiy.