Hukumu ya kutoa mimba

| |times read : 392
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hukumu ya kutoa mimba

Swali:

   Kuna baadhi ya wakati kunatokea mambo ambayo Daktari anashauri mimba iweze kutolewa, je, ni sahihi kutoa mimba katika hali kama hii?.

 

Jawabu:

               Kwa jina la Mwenyezi Mungu.

Kama jambo litakuwa ni la kawaida basi hauna ruhusa ya kutoa mimba ambacho ni kitendo cha kuuwa nafsi, na dia lazima itolewa kama kitafanyika kitendo hicho. Ndio, kama itakuwa ni jambo kubwa kama vile kuonekana kiumbe kilichopo hakiwezi kuitwa mwanadamu, kama vile ionekane kwamba kichwa chake i kidogo mno kuliko kawaida, basi hakuna tatizo katika hilo.

Ayatollah Sheikh Muhammad Yaaqobiy.