Hukumu ya kula kuku katika miji isiyo ya Kiislamu
09/07/2020 20:51:00 |
17/Dhul-Qadah/1441|times read : 372
Hukumu ya kula kuku katika miji isiyo ya Kiislamu
Swali:
Ni ipi kuhumu ya kula kuku katika miji isiyo ya Kiislamu, huku nikiwa najua kabisa kwamba ninayekula kwake ni Mwislamu na ananiambia kuwa kuku huyu amechinjwa kwa njia ya Kiislamu katika mji huo, je, nijengee usahihi na uhalali wa huyu kuku au hapana?.
Jawabu:
Kwa jina la Mwenyezi Mungu
Kama utapata yakini kutokana na maneno yake basi hakuna shida.
Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy