Hukumu ya kula kuku katika miji isiyo ya Kiislamu

| |times read : 372
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hukumu ya kula kuku katika miji isiyo ya Kiislamu

Swali:

    Ni ipi kuhumu ya kula kuku katika miji isiyo ya Kiislamu, huku nikiwa najua kabisa kwamba ninayekula kwake ni Mwislamu na ananiambia kuwa kuku huyu amechinjwa kwa njia ya Kiislamu katika mji huo, je, nijengee usahihi na uhalali wa huyu kuku au hapana?.

 

Jawabu:

       Kwa jina la Mwenyezi Mungu

Kama utapata yakini kutokana na maneno yake basi hakuna shida.

                                                        Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy