Hukumu ya wanandoa kukubaliana kuzuia mimba.
09/07/2020 20:21:00 |
17/Dhul-Qadah/1441|times read : 379
Hukumu ya wanandoa kukubaliana kuzuia mimba.
Swali:
Je, inafaa kwa wanandoa kukubaliana kuzuia mimba hata kama itakuwa tayari Mwenyezi Mungu ameshawabariki watoto?.
Jawabu:
Kwa jina la Mwenyezi Mungu
Inafaa kufanya hivyo kwa hatua ya kwanza, ila tu njia zitakazotumika ni lazima ziwe njia za halali kama vile kutomwaga mbegu ndani ya kizazi. Ama kufunga kabisa kizazi haifai kwani hiyo inahesabika ni kukatisha utendaji kazi wa kiungo cha mwili.
Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy