Hukumu ya wanandoa kukubaliana kuzuia mimba.

| |times read : 379
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hukumu ya wanandoa kukubaliana kuzuia mimba.

Swali:

    Je, inafaa kwa wanandoa kukubaliana kuzuia mimba hata kama itakuwa tayari Mwenyezi Mungu ameshawabariki watoto?.

 

Jawabu:

       Kwa jina la Mwenyezi Mungu

Inafaa kufanya hivyo kwa hatua ya kwanza, ila tu njia zitakazotumika ni lazima ziwe njia za halali kama vile kutomwaga mbegu ndani ya kizazi. Ama kufunga kabisa kizazi haifai kwani hiyo inahesabika ni kukatisha utendaji kazi wa kiungo cha mwili.

                                                        Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy