Mwanzo | | Maswali ya Kisheria
Maswali ya Kisheria

Shiriki swali

Swala na wasiokuwa Mashia

Swali:

      Imetokea tupo kwa moja ya ndugu zetu ambaye si Sunni, muda wa swala ukafikia na yeye hana udongo wa kuswalia, sasa je, inafaa kuswali katika busati?.

Jawabu:

             Kwa Jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma na mwenye kurehemu.

Ikiwa haitakuwa shida kutafuta ambavyo vinafaa kusujudia basi jitahidi utafute, kwani si lazima tu uwe ni udongo bali inaweza kuwa jani la mti, mkeka wa majani, au hata karatasi na mfano wake.

                   Ayatollah Sheikh Muhammad Yaaqobiy

1 2 3 4 5
total: 41 | displaying: 41 - 41

Ofisi ya al-Marjii Wadini

Khekhe Muhammad Yaqoobi (Allah amhifadhi) - Tuma swali lako-

Najaf Ashraf